Wednesday, November 24, 2010

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI 2010 - 2015

MUHIMU:
 Wizara ya Maji imeunganishwa na Kilimo na hivyo itakuwa ni Wizara ya Kilimo na umwagiliaji. Hapa Kilimo kwanza kimeongezewa nguvu ili kuondokana na kilimo cha msimu.
 Kazi, ajira na Vijan; kitengo cha Vijana kimehamishiwa Michezo na Utamaduni.
 Uwezeshaji wa Wananchi (Baraza la Uwezeshaji) ilikuwa katika Wizara ya Fedha na sasa imebidi kuipunguzia Hazina mzigo huu na kuielekeza Ofisi ya Waziri Mkuu.
 Wizara ya Miundombinu imepunguzwa, imegawanywa na kuwa na Wizara ya Ujenzi (Barabara na Viwanja vya Ndege) pamoja na Wizara ya Uchukuzi (Reli, Bandari na Usafiri wa Majini).


BARAZA LA JIPYA LA MAWAZIRI Lililotangazwa November 24, 2010
1. Waziri wa nchi Ofisi ya Rais; Uhusino na Uratibu – Stepehn Wasira
2. Waziri wa nchi ofisi ya rais; Menejiment ya Utumisi wa umma – Hawa Ghasia
3. Waziri wa nchi makamu wa Rais; Muungano - Samia Suluhu Hassan
4. Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu; Mazingira - Therezia Luoga Kofisa
5. OWM; Sera Uratibu na bunge – William Lukuvi
6. OWM; Uwekezaji na Uwezeshaji – Maria Nagu
7. OWM; TAMISEMI - George Mkuchika
8. OWM; Naibu Waziri TAMISEMI – Agrey Mwanri
9. OWM; Naibu Waziri – Elimu – Khassim Majali
10. Waziri wa Fedha – Mustafa Mkulo
11. Naibu waziri wa Fedha – Gregory Teu
12. Naibu Waziri Fedha – Bereila Ame Silima
13. Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi – Shamsi Vuai Nahodha
14. Naibu Waziri Mambo ya Ndani – Khamis Kagasheki
15. Waziri wa Katiba na Sheria – Celina Kombani
16. Waziri Mambo ya nje – Bernad Membe
17. Naibu Waziri Mambo ya Nje – Mahadhi Juma Mahadi
18. Waziri wa ulinzi na JKT – Dk. Hussein Ally Hassan Mwinyi
19. Waziri wa Mendeleo ya Mifugo- Mathayo David mathayo
20. Naibu waziri Maendeleo ya Mifugo – Benedict Ole Nangolo
21. Wizari ya Mawasilaino Sayansi, Tekonolojia, – Prof. Makame Mnyaa Mbalawa
22. Naibu Waziri Mawasilaino Sayansi, Teknolojia – Charles Kiwanga
23. Waziri Ardhi Nyumba na makazi – Prof Anna Tibaijuka
24. Naibu Waziri Ardhi Nyumba na makazi – Godluck Ole Medeye
25. Waziri wa mali Asili an Utalii – Ezeki el Maige
26. Waziri wa Nishati na Madini – William Ngeleja
27. Naibu waziri wa Nishati na Madini - Adam Malima
28. Waziri Ujenzi wa Barabara, Viwanja vya Ndege – John Pombe Mgufuli
29. Naibu Waziri wa Barabara, Viwanja vya Ndege – Harrison Mwakyembe
30. Waziri wa Uchukuzi – Bandari, Reli, Majini – Omary Nongwi
31. Naibu waziri Bandari, Reli, Majini – Athuman Mfutakamba
32. Waziri wa Viwanda na Biashara – Cyril Chami
33. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara- Lazaro Nyalandu
34. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi – Shukuru Kawambwa
35. Naibu Waziri Elimu na Mafunzo ya Ufundi- Philipo Murugo
36. Waziri wa Afya na Ustawi wa jamii – Hussein Haji Mpanda
37. Naibu waziri Afya na Ustawi wa jamii – Lucy Nkya
38. Waziri wa Kazi na Ajira – Gaudencia Kabaka
39. Naibu waziri kazi na Ajira -Makongoro Mahanga
40. Waziri maendeleo ya jamii Jinsia na Watoto – Sophia Simba
41. Naibu Waziri Ummy Ally Mwalimu
42. Waziri wa Elimu, Habari, vijana na Michezo – John Nchimbi
43. Naibu Waziri Elimu, Habari, vijana na Michezo – Fenela Mkangala
44. Waziri wa ushirikiano Afrika mashariki – Samuel Sitta
45. Naibu Waziri Dk Abdalah Juma Abdalah
46. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika – Jumanne Maghembe
47. Naibu Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika – Christopher Chiza
48. Waziri wa maji – Mark Mwandosya
49. Naibu Waziri wa maji – Gerson Luende
50. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais; Utawala Bora - Mathias Chikawe

No comments:

Post a Comment