Monday, December 14, 2009

USAFIRI WA PIKIPIKI

Mwaka huu Bunge letu la Jamhuri ya muungano wa Tanzania liliifanyia marekebisho Sheria ya Usafirishaji na hatimaye Pikipiki na Baiskeli zimeruhusiwa kupakia Abiria kibiashara kwa kutoza Nauli.

Lakini kwa upande wa Pikipiki, utaratibu huu una masharti yake. Dereva wa Pikipiki anatakiwa kuzifahamu sheria za barabarani ikiwemo na kuwa na leseni. Dereva na Abiria wa Pikipiki wanatakiwa kuvaa Kofia maalumu kichwani a.k.a HELMET.

Aina hii ya usafiri wa abiria kwa kutumia Pikipiki a.k.a BODABODA kwa baadhi ya maeneo kama unavyojulikana hususani kanda ya ziwa, umeanza kuwa maarufu sana kwa sababu ni wa haraka na isitoshe bei ni nafuu ukilinganisha na usafiri mwingine wa haraka mathalani Taksi.
Tatizo sasa ni kutokufuatwa kwa sheria za barabarani huku Madereva wengi wao wakiwa ni vijana kusemekana kuwa wanaendesha hovyo huku utafiti wa kipolisi ukisema kuwa wengi wao huwa wanaingia barabarani wakiwa wamefyonza viroba!

Cha ajabu kingine ni kwamba si jambo la ajabu sana kukuta aidha Dereva amevaa HELMET huku abiria akiwa hana au kibaya zaidi kukuta wote (Dereva na Abiria) hawana hiyo HELMET.

Mpya kuliko zote sasa. Kuna tabia ya kupakia Abiria zaidi ya mmoja. Unakuta Dereva wa Pikipiki kapakia Abiria Wawili au zaidi katika Pikipiki moja! Mtindo huo wa upakiaji kwa huku Mwanza unajulikana kama MSHIKAKI!
Lakini hata sheria hiyo iliyobarikiwa na Bunge inasisitiza matumizi sahihi ya Pikipiki likiwemo hilo la kupakia Abiria mmoja tu katika Pikipiki.
Hawa Madereva ni viburi kwa kisingiziio kuwa Bunge limeubariki usafiri huo. Inastaajabisha kuwa Pikipiki hiyo iliyopakia Abiria zaidi ya mmoja inakatiza mbele ya Macho ya Askari wa barabarani na wala hakuna hatua zinazochukuliwa.
Kutokana na uzembe huo pamoja na mengine niliyoyataja hapo juu ndani ya usafiri huu wa Pikipiki, baadhi ya mikoa imeshuhudia kuongezeka kwa ajali za usafiri wa Pikipiki. Watu wanakufa. Watu wanapata majeraha ya kudumu.
Mikoa mingine katika hospitali zao za mikoa na nyingine za rufaa imefikia hatua ya kutenga wodi maalumu za majeruhi wa pikipiki!
Tunakwenda wapi? Tunawafanya nini hawa Madereva Pikipipiki. Tunaudhibiti usafiri huu ili usiendelee kugharimu maisha ya Watanzania?

KAZI YETU YA UANDISHI WA HABARI

UCHUKUAJI PICHA NA STYLE ZAKE




MAHOJIANO NA KUCHUKUA DONDOO MUHIMU



MAENEO MENGINE KAMA YA IRAQ NA KWINGINEKO KWENYE SHURBA, UKAGUZI KWANZA KAZI BAADAE


WENGINE UBABE UKIWAZIDI KINACHOTOKEA NI WAANDISHI KUPIGWA NA KUHARIBIWA VITENDEA KAZI VYAO




WENGINE HUISHIA KUFUNGWA KISA WAMETIMIZA WAJIBU WAO WA KUTOA HABARI


WANAONUSURIKA HUISHIA KUWATETEA WENZAO, KAMA HAWA WAMEJIFUNGA MIDOMO YAO KUASHIRIA KUWA UHURU WA WAANDISHI WA HABARI NI TATIZO


LAKINI MWISHO WA SIKU JAMII INAPATA HABARI AMBAZO ZIMEWAHENYESHA WAANDISHI HUSIKA KUZIPATA




Lakini hayo yote hayawezi kutukatisha tamaa kwani tumeamua kufanya hii kazi. Tunaielewa. Na isitoshe Jamii inatuhitaji sana kwa kujua kinachooendelea Duniani. Kila mmoja atambue kuwa waandishi ni watu muhimu sana na tunahitaji ushirikiano kwa kazi tunayoifanya.
AMINA.

Thursday, December 10, 2009

BORN WITHOUT LEGS AND ARMS



BORN WITHOUT LEGS AND ARMS

MAITI YAZINDUKA



Kichanga kilisemekana kimekufa! Kikashtuka muda mfupi kabla ya mazishi! Kikafa tena wakati wa matibabu Hospitali.

UHURU BILA MAWAZIRI WAKUU

Eti katika hali hisiyo ya kawaida, Mwaka huu katika maadhimisho ya miaka 48 UHURU wa TZ hakukuwa na Waziri Mkuu wa sasa wala waliostaafu wote!!!!!!!

Hii ni mara ya kwanza kutokea Tz toka tumepata uhuru. Ebu soma Gazeti la Mwananchi unielewe nnachokisema.

Wednesday, December 2, 2009

MWANZA SI MIAMBA TU, BUT ..............PIA.

Jamani eeeeeh? Mwanza is not only the Rock city. Kuna vivutio zaidi ya Mawe vinazidi kumwagika ndani ya Jiji.

Ikawa Usiku, ikawa Asubuhi na haya yakaonekana kweupeeeeeeeeee.

Bofya hapa chini.

Mwanza.

Saturday, November 14, 2009

HIKI NI CHOO! TENA CHA MWALIMU!

Eti kuna Walim wetu mpaka Leo wanajisitiri katika Vyoo kama hivi! Mipango ya MMES na MMEM ni kwa amadarasa tu jamani!!!!?????

Ebu bofya hapa chini ujionee mwenyeeeeweeeee! Inasikitisha.

Walimu wanapojisitiri Bukoba Vijijini ni aibu tupu !

Tuesday, November 3, 2009

MASHINDANO YA KUTABASAMU!!!!!!!



NAMBA 1



NAMBA 2



NAMBA 3



NAMBA 4



NAMBA 5



NAMBA 6



NAMBA 7



NAMBA 8

Friday, October 30, 2009

OBAMA'S CHILDHOOD

“Yes we can, yes we can, yes we can, and yes we can.”

It is believed to be a voice for change; it is said to be the American dream, and that is what inspired the American and the whole world to focus on him. He is Senator Barack Obama, the 44th president of United states of America.

Paraphrasing the article Early life and career of Barack Obama, he was born in 1961 and raised at Honolulu, Hawaii in United states, to Ann Dunham an American from Kansas and Barack Obama, Sr., a Luo from Nyang’oma Kogelo in Kenya. They divorced in 1964.

He went in Indonesia to live with his stepfather whereby from ages Six to Ten, Obama like other children schooled in Jakarta before he came back to Honolulu to stay with his grandparents.

Obama’s adulthood missed parents care as he was raised by his grandparents Madelyn and Stanley Dunham. Those kinds of life lead him as a teenager to fall on peer groups using marijuana and cocaine as a way of seeking relief from hard life.

He took his high school studies at Punahou as one of the few black students at that school. Among the oppressive memories at that school is when he was asked whether his father ate people! Despite challenges as a black student, he graduated from high school in 1979.

Obama’s stepsister Soetoro-Ng describes him as an activist who dealt with knowing his identity since his adulthood. That made him to spend some of his times reading various books.

Being raised in Honolulu, Obama lived with multiple culture that enhanced him to experience unique life style like other black American people. The question is does that life style lead him to practice good public relations in his presidency?

From Punahou school, he moved Hawaii to Los Angeles, New York, and Chicago where he acquired more education and job careers as a way of getting rid of being dependant to his grandparents.

Nowadays, Barack Obama is among the prominent figures in the world.

Thursday, October 29, 2009

LAKE ZONE JOURNALISTS STILL ON WORKSHOP

DAY IV

Hellooo to all viewers of this blog. It is my hope that you are doing just fine. I am so fresh, so clean here adding more and more knowledge on internet as well as blogging.

Yes, our internet session is on the way towards its end. Starting with the morning episode: we were more practical on finding information for a journalist to collect enough and adequate facts or background before submitting his or her story.

I real enjoyed that session. My goodness! For the first time I took my time commenting on some others blogs: Maleko, Byabato, Jilala, Bugaywa, to mention a few. And I am grateful to even receive a comment from my ex-SAUT classmate Maleko.

In blogging, there is a fabulous networking room. You know what I mean? It is what we call a link. Today we were able develop direct links to various sites. For instance, when you come across a word that is bold and underlined in my posts, then you just click it and you are going to be connected to the site concerned -MPs allowance scandal.

You see that? Whaoooo. That is what the Lake zone Journalists are still learning about. Please expect more as we keep on moving. Let me concentrate now on my practical assignment. You are welcome. Bye.

INTERNET WORKSHOP FOR LAKE ZONE JOURNALISTS

DAY III

Speaking of journalism, one can not put aside what we call sources of information. Traditionally, we spoke about eyes and ears, individuals, press releases, other media, to mention a few.

In this 21st century, internet is included in everyday journalism. For instance instead of listening radio and watching television news, you can also read those news through the sites. Examples of those news sites are ippmedia.com, darhotwire.com, mwananchi.co.tz, reuters.com, startv.co.tz, allafrica.com, etc. Internet has multiplied the potential sources.

The modern technology allows journalist to use email as a tool for interviewing sources of information. But the critical issue here is that you might be contacting with improper sources.

And the most challenge in using internet materials is plagiarism because it is easier now for users to copy ideas without acknowledging the one developed those ideas. Therefore, copyrighting is crucial for a person to defend his or her rights on the project, activity or a concerned idea.

Basically, journalistic research assignments can be done in internet. It is through internet where you can find facts and background information. You must take into consideration that what and where you want to get those materials.

Heeey guys! Before I leave you today, I got an interesting story for you. Check that link to view the new TZ Attorney General's comment on Darhorwire. Can you imagine? He claims not to be a CCM member. Teh teh. It more than maisha plus.Ok bye.

INTERNET WORKSHOP FOR LAKE ZONE JOURNALISTS

DAY II

It is good that internet has changed societies and communication globally. And that comment can be cited on guardian.co.uk through the article titled web sites that changed the World.

Nowadays, people have an access to electronic news where they can read newspapers, magazines, books, etc through various sites like drudgereport.com, ippmedia.com, amazon.com, salon.com, etc.

On the side of entertainment, one can listen and watch various music and some funny clips on line as a way of refreshing. Some of those sites are napster.com, youtube.com, myspace.com, etc. there is also a possibility of bargaining, buying and selling goods, ebay.com.

Nevertheless, search engine users should be aware of those sites. Let us cite the wikipedia.com. That site can be edited by any one! The question here is who is editing and how credible he or she is. Therefore, severe relaying on those materials might be of great risk.

Finally, the interesting session I can call it. It is the blog session. Every trainee was able to open his or her own blog by the assistance of our trainee Peik Johansonn. Our practices were based on settings, layout and posting some materials.

Blogging is a fabulous thing on networking to different, favorite and interesting sites and individuals.