


MAHOJIANO NA KUCHUKUA DONDOO MUHIMU


MAENEO MENGINE KAMA YA IRAQ NA KWINGINEKO KWENYE SHURBA, UKAGUZI KWANZA KAZI BAADAE

WENGINE UBABE UKIWAZIDI KINACHOTOKEA NI WAANDISHI KUPIGWA NA KUHARIBIWA VITENDEA KAZI VYAO


WENGINE HUISHIA KUFUNGWA KISA WAMETIMIZA WAJIBU WAO WA KUTOA HABARI

WANAONUSURIKA HUISHIA KUWATETEA WENZAO, KAMA HAWA WAMEJIFUNGA MIDOMO YAO KUASHIRIA KUWA UHURU WA WAANDISHI WA HABARI NI TATIZO

LAKINI MWISHO WA SIKU JAMII INAPATA HABARI AMBAZO ZIMEWAHENYESHA WAANDISHI HUSIKA KUZIPATA



Lakini hayo yote hayawezi kutukatisha tamaa kwani tumeamua kufanya hii kazi. Tunaielewa. Na isitoshe Jamii inatuhitaji sana kwa kujua kinachooendelea Duniani. Kila mmoja atambue kuwa waandishi ni watu muhimu sana na tunahitaji ushirikiano kwa kazi tunayoifanya.
AMINA.
No comments:
Post a Comment