Thursday, November 11, 2010

MWANZO MZURI WA UGENINI.....

Baada ya kuona hizi Picha zifuatazo nikapata fikra kuwa kumbe mwanzo mzuri wa kuwa ugenini ni pale unapopata mapokezi mazuri kutoka kwa wenyeji wako:


Mheshimiwa Freeman Mbowe akikaribishwa mjengoni na Mheshimiwa Anna Kirango.


Mheshimiwa Samwel Sitta akimkaribiwa mjengoni Mheshimiwa Lyatonga Mrema.

No comments:

Post a Comment