Lakini ni tofauti kwani sikutarajia kuona jiji la Mwanza linaanza kuona shubiri ya foleni ikiwa bado ni mapema sana. Watendaji wa jiji hawakushtuka toka mapema? Matokeo yake mambo haya kwa Mwanza yameshaanza kuzoeleka sasa wakati ndiyo kwanza jiji linaanza kukua kwa kasi.

Poleni Mwanza. Tumeshachelewa. Sasa hivi mjini kutakuwa hakuendeki.
No comments:
Post a Comment