Saturday, June 26, 2010

KOMBE LA DUNIA


Hizo Antena zimenyooka kwa wingi sana katika paa za nyumba za Uswazi. Kombe la Dunia hapo linaonekana live bila chenga. Waswahili watundu sana jamani. Yaani TUBE LIGHT kuwa Antena!!!!!?????

No comments:

Post a Comment